| Namba: 249982 | Tarehe: 1390/00/00 | Rejea: | print |
ATHARI ZA VITA KWA WATOTO |
ATHARI ZA VITA KWA WATOTO
Mamilioni ya watoto huko
mengi kunakojiri vita duniani wameuawa, kujeruhiwa, kupoteza wazazi na jamaa zao na kulazimika kuishi makambini. Ni
wazi kuwa asilimia 95 ya wahanga wa migogoro ya kivita ni raia, huku zaidi ya asilimia 80 wakiwa ni watoto na
wanawake. Kitendo cha watoto hao kutengana au kuwa mbali na famila zao au kuwa mayatima, kumewalazimisha baadhi
kubeba jukumu la kuwalea wadogo zao au jamaa zao wakiwa na umri mdogo. Aidha watoto hao hukumbwa na matatizo
mbalimbali kama vile kutopata chakula cha kutosha, maji
hayo, watoto wanaoishi kwenye maeneo ya vita wanaingizwa kwenye migogoro ya kivita
makundi yanayobeba silaha. Baadhi ya watoto hulazimishwa kujiunga na jeshi na wengine wakijunga kwa khiari
kuepuka umaskini au ikiwa ni katika kutafuta usalama, wakiogopa machafuko ya vita na kuwa wakimbizi. Vijana
wasiopungua elfu 30 walio na umri wa chini ya miaka 18 wengine wakiwa wadogo
sasa wanahudumu
wapishi na wahudumu wa kazi nyingine jeshini. Takwimu zinaonyesha kuwa watoto wa kike mara nyingi hutumiwa
watumwa wa ngono na kuolewa kwa nguvu na makamanda wa jeshi. Baadhi
mahitaji
ya kiwango cha juu katika maeneo ya vita. Watoto wanaotumiwa
machafuko siku zote huathiriwa vibaya kiakili na kimwili, na suala
kikatili. Kwa hiyo madhara yanayowasibu watoto hao huwa ni makubwa. Huku wakiwa wameathirika na kumbukumbu chungu za
vita, watoto wengi huendelea kusumbuliwa na majinamizi na kumbukumbu za mateso na udhalilishaji wa kijinsia
waliofanyiwa, au kushuhudia, au kulazimishwa kuufanya wakati wa vita. Kwani baadhi ya watoto waliokuwa wakitumiwa
mbalimbali. Katika maeneo ya vita mtoto wa kike huwa hana usalama. Taathira za kimwili na kinafsi za mtoto huyo
huongezeka mara kwa mara kutokana na aibu na kukataliwa na jamii. Kwa hiyo, mtoto wa aina hiyo anahitaji uangalizi
maalumu. Athari kubwa zaidi humpata mtoto wakati wazazi wanapouawa, kujeruhiwa, kutishwa au wanaposhindwa kutekeleza
majukumu
wengine.
Vita hudhoofisha misingi mikuu ya maisha ya watoto, huharibu makazi
baadaye. Kwa upande wa athari za kinafsi au kiakili na kisaikolojia, watoto hao hukumbwa na matatizo yafuatayo: huwa
na hali ya mfadhaiko, huzuni, baadhi
watoto hao huota ndoto mbaya nyakati za usiku na (mara zote hudhani kuwa wako vitani), hukosa uchangamfu, baadhi
huwa na tabia ya kulia. Hupatwa na hasira za mara kwa mara na wengine hujikojolea nyakati za usiku na hupenda
kuchukua maamuzi ya haraka n.k. Kwa upande wa athari za kimwili, watoto katika maeneo yenye migogoro ya vita
hukumbwa na matatizo yafuatayo: hupata ulemavu unaosababishwa na kujeruhiwa na risasi au mabomu ya kutegwa ardhini
na milipuko mingine ya mabomu, hupata mimba haramu za utotoni, na hata kukumbwa na magonjwa mengine ya zinaa na
ukimwi. hujiingiza katika utumiaji madawa ya kulevya na unywaji pombe na vileo, ukahaba n.k. Kuhusu kuheshimiwa haki
za mtoto, Shirika la Msamaha Duniani limetoa maazimio kadhaa likizitolea mwito serikali, makundi ya upinzani na wale
wote wanaowatumia vibaya watoto kuheshimu sheria zifuatazo. Mosi:Kuhakikisha kuwa watoto walioko katika seli au jela
au wale wanaolelewa katika taasisi za serikali au watu binafsi wanalindwa na aina zote za unyanyasaji na mateso,
vitendo visivyo vya kibinadamu au adhabu zisizostahili. Pili, Watoto wanaofikishwa mbele ya sheria kwa makosa
waliyoyatenda wanapaswa kuadhibiwa kulingana na sheria za kimataifa. Nchi mbalimbali zinapaswa kupiga marufuku
adhabu ya kifo kwa yule aliye chini ya umri wa miaka 18. Watoto ambao wamekuwa wahanga wa haki za binadamu na
kufanyiwa mateso wanapasa kulipwa fidia itakayowawezesha kupewa huduma na matibabu ili ajiunge na tena jamii. Tano,
watoto wote wanapaswa kufungwa jela katika hatua ya mwisho kabisa na kwa muda mfupi, ripoti zote zinazohusiana na
mauji na ukiukaji mwingine wa haki za watoto ni lazima zichunguzwe kwa kina, kuzuia kuwaingiza watoto walio naumri
chini ya miaka 18 katika majeshi ya serikali na makundi hasimu yanayobeba silaha n.k.
Je Umoja wa Mataifa una mchango gani na unapaswa kufanya nini kuhusiana na masaibu hayo yanayowakumba watoto katika
maeneo yenye vita? Unapaswa kupunguza hatari zinazowakabili watoto kwa kusambaza suhula mbalimbali katika maeneo
yanayokumbwa na vita, kuwasaidia watoto waliohamishiwa kwenye makambi ya wakimbizi, kuanzisha mipango ya kuwahudumia
watoto hao walioathirika mara baada ya kurejea nyumbani wakiwa salama ikiwa n pamoja na kuwatibu maradhi
waliyoyapata vitani yakiwemo ya kiakili na kinafsi. Uunapaswa pia kuandaa utangulizi wa kuwaingiza mashuleni watoto
wao, vile vile unapaswa kuzisaidia kifedha taasisi zisizo za kiserikali ili ziweze kushirikiana na vyombo vya habari
kutangaza na kuweka wazi matatizo yanayowakabili watoto katika maeneo yaliyokumbwa na vita. Na mwisho Baraza la
Usalama la Umoja wa Mataifa litekeleza jukumu
Ni hayo tu kwa leo.