Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Qurani na Mazingira
Namba: 265123 Tarehe: 1390/00/00Rejea: Ripoti ya ABNAprint

Mazingira ya Jamii
Qurani na Mazingira

‘Mazingira kwa Mtazamo wa Qur’ani na Sunna’ 

 Qurani na Mazingira

Makala yenye anwani ya ‘Mazingira kwa Mtazamo wa Qur’ani na Sunna’ imeandikwa na Ali Najarpourian na kuchapishwa katika toleo la 69 la jarida la Bayyenat.

Makala hii inalenga kuangazia maudhui za mazingira katika Qur’ani na Sunna na vilevile sababu zinazochangia kuchafuka mazingira. Aidha makala hiyo inapendekeza mikakati ya kimaadili, kiuchumi, kifiqhi na kiafya ambayo inaweza kutumika kulinda mazingira.

Mwandishi wa makala anaashiria aya ya 30 ya sura ya 21 ya Qur’ani Tukufu isemayo: "Na tukajaalia kwa maji kila kilicho hai". Anasema maji ndio elementi muhimu zaidi ya maisha ya viumbe vyote wakiwemo wanadamu, wanyama na mimea kwa hivyo kuna haja ya kuwepo mikakati ya kulinda vyanzo vya maji.

Aidha anajadili hatua ya baadhi ya wanadamu kutojali suala la kulinda mazingira. Anasema kupuuzwa mazingira kunaweza kuwa tishio kwa uhai wa viumbe.

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani