Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Obama amkaribisha Mursiy Marekani
Namba: 327856 Tarehe: 2012/07/09 - 15:27Rejea: print

Afrika
Obama amkaribisha Mursiy Marekani

Mmoja kati ya viongozi wa Misri siku ya juma pili ametangaza kuwa Rais Baraka Obama wa jamhuri ya Amerika amemtaka Rais Muhammad Mursiy wa jamhuri ya Misri kuitembelea nchi hiyo mnamo mwezi wa tisa. 

 Obama amkaribisha Mursiy Marekani

Mmoja kati ya viongozi wa Misri siku ya juma pili ametangaza kuwa Rais Baraka Obama wa jamhuri ya Amerika amemtaka Rais Muhammad Mursiy wa jamhuri ya Misri kuitembelea nchi hiyo mnamo mwezi wa tisa.

Habari kutoka misri zinasema baada ya safari ya muakilishi wa wizara ya mambo ya nje ya Serikali ya Amerika, mmoja kati ya viongozi wa Misri amesema Rais wa marekani Baraka Obama ametoa wetu kwa Rais mteule wa Misri Muhammad Mursiy kuizuru nchi yake mnamo mwezi wa tisa katika kushiriki kikao cha umoja wa mataifa nchini humo.

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani