| Namba: 327963 | Tarehe: 2012/07/09 - 20:19 | Rejea: ABNA.ir | print |
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na tume kuu ya uchaguzi ya Libya, asilimia 80 ya wapiga kura walijiandikisha na kushiriki kwenye upigaji kura.
Wachunguzi kumi kadhaa wakiwemo wa Umoja wa Nchi za kiarabu na Umoja wa Ulaya walisimamia uchaguzi huo. Matokeo ya mwanzo ya upigaji kura yatatangazwa tarehe 9, na matokeo ya mwisho yatatangazwa tarehe 11.