| Namba: 330529 | Tarehe: 2012/07/21 - 12:11 | Rejea: abna | print |
Afrika Rais wa Jamhuri ya Misri atoa msamaha kwa wafungwa 572 walohukumiwa na utawala ulopita |
Aidha Rais huyo ametoa amri ya kuandaa kama itakayo chunguza na kufuatilia wafungwa walohukumiwa na utawala wa kijeshi toka mwanzo wa mapinduzi ya nchi hiyo mpaka kipindi cha urais wa Muhammad Mursiy. Utawala huo wa kijeshi uliwahukumu kifungo wananchi wapatao 1187 kutoka mwanzo wa mapinduzi mpaka kuingia madarakani kwa Rais Muhammad Mursiy, wafungwa 9714 mpaka sasa wameachiwa huru na wengineo wafanyiwa uchunguzi ili kupata uvumbuzi wao.