Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Kuzuiliwa Mwanamichezo wa Saudia Arabia kwa kuvaa kwake hijabu
Namba: 332219 Tarehe: 2012/07/27 - 17:20Rejea: ABNA.irprint

Je!! kuvaa hijabu ni kosa?
Kuzuiliwa Mwanamichezo wa Saudia Arabia kwa kuvaa kwake hijabu

Mmoja kati ya washindani wa Judo katika mashindano ya Olimpiki London 2012 azuiliwa kushiriki katika mashindano hayo kwa kosa la kuvaa hijabu.

 

 Kuzuiliwa Mwanamichezo wa Saudia Arabia kwa kuvaa kwake hijabu

Ripoti ya shirika la habari la Ahlul Bayt(as)-ABNA- Wujdan Ali Siraj Abdurrahman Shahru Khani mmoja kati ya washiriki wa mashindano ya Olimpiki London 2012 kuzuiliwa kushiriki katika mashindano hayo kwa kosa la kuvaa hijabu.

Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Kimataifa la Judo imeeleza kuwa; kama mshiriki huyo hatovua hujabu yake basi hatoweza kushiriki katika mashindano ya Olimpiki London 2012.

Msiriki huyo ni mmoja kati ya washiriki wawili pekee wa Saudia Arabia walofaanikiwa kufikia katika michuano hiyo.

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani