| Namba: 332620 | Tarehe: 2012/07/28 - 23:06 | Rejea: ABNA.ir | print |
Kwanini Mayahudi waogopa Hizbullah Lebanon?! |
Ripoti ya shrika la habari la Ahlul Bayt(as)-ABNA- Ibrahim Al-Amin mchambuzi wa Gazeti la Al-Akhbar la Lebanon alisema:Tuhuma za Isreal dhidi ya Hizbullah kuwa kuripuliwa Basi la Waisrael Bulbaria ni njama za Hizbullah na Jamuhuri ya Kiislamu ya Irani, na Hizbullah wasaidiwa na Iran ili kuendeleza Ugaidi Duniani.
Sababu za uwoga za Waisrael ni:
1-Kufahamu fika kuwa Hizbullah lazima italipiza kisasi kwa kuuliwa Imad Mughniah
Suala hili la washughulisha sana Viongozi wa Israel kila siku huku kujiuliza lini Hizbullah italipiza kisasi na kuwa makini katika kazi zao kwa kuogopa Hizbullah isilipize kisasi.
2-Kuogopa hali Syria isiwe kwa maslahi ya Hizbullah
Hali mbaya ya Syria ambayo ya sababishwa na Umoja wa Waarabu wakishirikiana na Marekani na Israel kuwapa Waasi wa Nchi hiyo silaha ili kuteketeza utawala wa Syria kwa kuwa utawala wa Syria waunga Hizbullah mkono, aidha hofu ya Israel ni kwamba mgogoro wa Syria ukitatuliwa bila kuondoka Rais wa Syria Bashar Al-Asad hakuto kuwa amani Israel kwa janga linalokuja hapo karibuni.
3- Kuogopa Tel Aviv silaha za masafa marefu za Hizbullah
Silaha za masafa marefu za Hizbullah za wahofisha Waisrael kwa kuogopa muda na saa yoyote waweza kuvamiwa na Hizbullah na hii ni hatari kwa Wananchi Tel Aviv na ndio maana Waisrael wajichoma moto kwa kupinga siasa ya Tel Aviv kwa kuingilia matatizo ya Nchi zengine.
4- Kufeli njama za Tel Aviv dhidi ya Hizbullah
Kufeli njama za Tel Aviv ni pigo kubwa kwa Nchi ya Israel kwani kila njia watumia ili kutambua nini cha jiri ndani ya Hizbullah washindwa na kujikuta wagonga ukutani.