Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Siku ya Wanawake barani Afrika
Namba: 333423 Tarehe: 2012/07/31 - 22:31Rejea: ABNA.irprint

Siku ya Wanawake barani Afrika

Leo (31.07.2012) ni siku ya mwanamke barani Afrika. Siku hii inaikumbusha jamii ya Waafrika kumtendea wema mwanamke, ikiwa ni sehemu ya jamii ambayo ina wajibu wa kuleta maendeleo.

 

 Siku ya Wanawake barani Afrika

Wanawake lakini wamekuwa wa kwanza katika mataifa kadhaa ya Afrika kukumbana na matatizo kadhaa, hasa katika maeneo ya vita. Waandishi wa habari waamezungumza na mmoja wa  wanaharakati anayefanyakazi katika shirika la kijamii linalopigania amani katika eneo la mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Janine Mbandu , na alitaka kujua siku hii ina umuhimu gani kwa mwanamke wa eneo hilo, alijibu kuwa: Siku hii ni siku adhimu Ulimwenguni kwani siku hii lazima Wanawake wafahamu umuhimu wake, siku ya Wanawake Duniani ni siku ya kuonyesha kuwa Wanawake wanahaki ya kufanya kazi kwa matakwa yao na sikufanyishwa kazi kwa nguvu km wanavyofanyiwa katika baadhi ya Nchi, aidha Wanawake wafahamu kuwa ni siku ya kuonyesha umahiri wao katika uchapakazi na kuonyesha kuwa Wanawake sio chombo cha biashara kama wanavyo jivulia heshima baadhi ya Wanawake Duniani.

 

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani