Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Kiongozi mmoja wa dini nchini Nigeria anausurika kuuwawa katika mlipoko wa kigaidi
Namba: 334335 Tarehe: 2012/08/04 - 18:07Rejea: IRNAprint

Kiongozi mmoja wa dini nchini Nigeria anausurika kuuwawa katika mlipoko wa kigaidi

Kiongozi mmoja wa dini ya kiislamu nchini Nigeria anusurika kuuwawa kwa bomu lilowekwa na watu wasiofahamika
 

 Kiongozi mmoja wa dini nchini Nigeria anausurika kuuwawa katika mlipoko wa kigaidi

Kutokana na mripoko huo uliotokea siku ya ijumaa katika mkoa wa butiskom mashariki mwa nchi hiyo, ambapo ilisababisha baadhi ya watu kujeruhiwa, mmoja katii ya watu waloshuhudia tukio hilo amesema mtu mmoja mwenye umri wa miaka 40 aliyekuwa akimfuatilia kiongozi huyo alionekana akimsogelea, ama walokuwa katika sehemu hiyo walimzunguka bwana huyo nakutoweza kumkaribia, katika hali hiyo bwana huyo akatoa bomu alokuwa amelificha katika nguo yake.

Watu watatu wameripotiwa kujeruhiwa katika tukio hilo akiwemo mlinzi wa kiongozi huyo na muhudumu wa msikiti na raiya mwengine mmoja

Inasemekana kuwa tukio hilo limetokea baada ya waumini kuanza kutawanyika katika msikiti huo baada ya kumaliza ibada ya ijumaa. mpaka sasa alohusika na tukio hilo hajafahamika.

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani