Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Waziri wa Afya atahadharisha kutokea magonjwa baada ya Tetemeko la Ardhi
Namba: 336337 Tarehe: 2012/08/12 - 18:34Rejea: abna.irprint

Waziri wa Afya atahadharisha kutokea magonjwa baada ya Tetemeko la Ardhi

Waziri wa Afya wa Iran alisema: Mahitaji yote muhimu ya kidaktari na huduma ya kwanza katika sehemu ilotokea tetemeko la ardhi hakuna tatizo, na juhudi za kuokoa watu walokuwa chini ya majumba yaloangua zaendelea kwa kasi ya juu, ila tu walopoteza maisha yao katika janga hilo yazidi kuongezeka.

 

 Waziri wa Afya atahadharisha kutokea magonjwa baada ya Tetemeko la Ardhi

 Ripoti ya shirika la habari la Ahlul Bayt(as)-ABNA-  Dr.Mardhiya Wahid Dastjordi  Waziri wa Afya wa Iran alieleza kuwa;  Mahitaji muhimu kutokana na tetemeko la Ardhi Tabriz kaskazini magharibi mwa Iran yaendelea na Madaktari wafanya kazi usiku na mchana ili kuweka mazingira safi na kusaidia watu walokubwa na janga hilo.

Aidha alisema: Tatizo kuwba ni kukatika Maji na Umeme katika Vjiji hivyo, ukatikaji wa Maji ni hatari kwa Afya ya watu wa Vijiji hivyo kwani watalazimika kutumia Maji yasokuwa salama na hii itasababisha kuleta magonjwa na maradhi hatari.

Waziri huyo alihudhuria sehemu hizo ili kutathmini na kuwapa salam za rambi rambi kwa wafiwa wa sehemu hizo, na baada ya kuona mazingira ya Kijiji kimoja alisema: %80 ya Kijiji hiki kunatatizo la Maji na hii ni hatari kwa Kijiji lazima kufikishwe huduma ya Maji haraka iwezekavyo.

Akimalizia kwa kusema: la kusikitisha ni kwamba Hospitali ya Ahar na Haris imeharibika vibaya na haiwezi kupokea majeruhi na hapa karibu hakuna Hospitali.

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani