Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Dawa bandia za Malaria zaongeza madhara
Namba: 291321 Tarehe: 1390/00/00Rejea: ABNAprint

Afya ya jamii
Dawa bandia za Malaria zaongeza madhara

Ikilezwa kuwa katika miaka 2009-2011 Dawa bandia zimekuwa zikizidi katika Nchi za Afrika Lengo kuendelza ugonjwa huo na kuonyesha kuwa bara la Afrika ni masikini na.. wataalamu wa maswala ya afya katika bara la Afrika wanapaswa kuchukua hatua kambambe za kusitisha kuenea kwa dawa hizo bandia katika bara la Afrika au sio mamilioni ya watu watafariki. 

 Dawa bandia za Malaria zaongeza madhara

Ripoti ya ABNA- Wanasayansi katika Chuo Kikuu cha Oxford nchini Uingereza wamesema kuwa ongezeko la dawa bandia barani Afrika, ni pigo kubwa katika juhudi zinazoendelea za kupambana na maradhi ya Malaria.

Malaria huwaua karibu watu milioni moja kila mwaka katika bara la Afrika.

Wanasayansi wa chuo hicho wamesema kuwa kuuzwa kwa dawa hizo bandia huwadhuru wagonjwa mbali mbali na kusababisha wagonjwa hao kutoweza kupata tiba kamilifu wanapotumia dawa sahihi.

Wataalamu hao wa dawa walisema baadhi ya dawa hizo bandia zinatoka Uchina

Wameshauri kuwa wataalamu wa maswala ya afya katika bara la Afrika wanapaswa kuchukua hatua kambambe za kusitisha kuenea kwa dawa hizo bandia katika bara la Afrika au sio mamilioni ya watu watafariki.

Watu walio taabani sana kutokana na dawa hizo bandia ni watoto na wanawake waja wazito.

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani