Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Gazeti la Tunisia la mkosoa Mwanazuoni wa Kiwahabi
Namba: 299631 Tarehe: 1390/00/00 - 00:00Rejea: abna.irprint

Hatari ya Mawahabi katika jamii
Gazeti la Tunisia la mkosoa Mwanazuoni wa Kiwahabi

Gazeti la Tunisia lilipinga vikali maneno ya mtafaruku ya Mwanazuoni wa Kiwahabi wa Saudia Arabia, kuharamisha kukaa Baba na Mtoto wake wa Kike au kalala Chumba kimoja au kumbusu. 

 Gazeti la Tunisia la mkosoa  Mwanazuoni wa Kiwahabi

Ripoti ya shirika la habari la Ahlul Bayt(as)-ABNA- Gazeti la Tunisia Al Haqiqah lilkosoa vikali maneno ya upuuzi na ya mtafaruku ya Sheikh wa Kiwahabi Muhammad Al Arifiy.

Gazeti hili lilieleza kuwa; Mufti wa Saudia kutoa Fatwa za Kishetani na zamtafaruku na fitina kwa Umma wa Kiislamu, inachekesha kwa Mwanazuoni kuongea na kutoa Fatwa kama hii ya kuharamisha kukaa Baba na Mtoto wake wa Kike Chumba kimoja pekee au Baba kumbusu Mtoto wake wa Kike au kulala  katika Chumba kimoja.

Sheikh huyu Maarufu wa Kiwahabi Muhammad Al Arifiy si mara ya kwanza kuongea na kutoa Fatwa kama hizi imekuwa ni kama ada kwake kuleta fitina kwa Uislamu.

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani