kundi la Alshabaab limetangaza bayana kuhusika na mashambulizi ya msafara huo,ambapo jeshi la Umoja wa Afrika ndio lililochukua jukumu la kukabiliana na wanamgambo wa Alshabab na haatimaye kumuokoa rais wa nchi hiyo na athari za mashaambulizi za wanamgambo hao.