| Namba: 319442 | Tarehe: 2012/06/02 - 19:35 | Rejea: CRI | print |
Hosni Mubarak ahukumiwa kifungo cha maisha |
Kituo cha televisheni cha taifa cha nchi hiyo kilitangaza hukumu
hiyo moja kwa moja. Watu elfu kadhaa wakiwemo wafuasi wa Bw. Mubaraka pamoja na
watu wanaompinga walijumuika nje ya mahakama hiyo. Serikali ya Misri ilituma
askari polisi zaidi ya elfu saba ndani na nje ya mahakama ili kulinda usalama.