Gazeti hilo limeeleza kuwa watu watatu kati ya watuhumiwa hao wamekamatwa katika mkoa wa kanu kaskazini mwa Nigeria, hali ya kua wengini wawili wamekamatwa mkoani banyu mashariki mwa nchi hiyo, huku likiashiria gazeti hilo kuwa watuhumiwa hao walikuwa wakifanya juhudi kuwakinaisha akina mama kuuza watoto wao ili kuboresha maisha yao na kupata maisha mazuri
Na imeelezwa kuwa mmoja kati ya watuhumiwa alifanikiwa kununua mototo mmoja mwenye umri wa miezi 8 kwa pesa yenye thamani ya zaidi ya 1000 Dola za kimarekani, na baadae habari hizo zilifika kituo cha Polisi na kupelekea kukamatwa watuhumiwa hao.