| Namba: 331438 | Tarehe: 2012/07/24 - 18:01 | Rejea: CRI | print |
Mursi kuteua Waziri Mkuu |
Habari zinasema, rais Mursi amemtaka Bw. Qindil aunde serikali mpya mapema iwezekanavyo, na baadaye wafanye mkutano siku hiyohiyo.
Bw. Qindil aliteuliwa kuwa waziri wa maliasili ya maji na umwagiliaji mwezi Julai mwaka jana na waziri mkuu wa wakati ule Bw. Essam Sharaf alijiuzulu Novemba mwaka jana.