Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Wanawake na Watoto
- Wanawake na Watoto



Jamii
Kwa baraka za Ayatullah Musawi Ardebili Mama wa Kijapani kuwa Shia+picha
Mwanafunzi wa Japani kukubali Uislamu baada ya kusoma kwa muda mrefu kwa njia ya Internet kaathirika na kuelekezwa na aliekuwa rafiki wa Ayatullah Musawi Ardebili miaka 15 ilopit, na baada ya kutowa shahada mbili kawa Muislamu rasmi.

2013/05/03  23:13

Wanawake na jamii
Wanawake Saudia Arabia kupewa shoti ya umeme na sprey ya pilipili
Wanawake wa Saudia Arabia baada ya adhia ya muda mrefu sasa wapewa silaha mpya, kutembea na Shoti ya umeme na Sprey ya Pilipli kudhibiti adhia ya hapa na pale ya vijana mitaani.

2013/03/23  04:03

Mafunzo ya jamii
Watoto kila siku waaga dunia sababu ya maji yasio salama

2013/03/22  20:13

Uislamu na jamii
KUMFUNZA MTOTO KUMJUA MWENYEZI MUNGU

2013/02/25  22:07

Wanawake na Jamii
Kufukuzwa Mwanamke wa Kiislamu Uhispania kwa kosa la kuvaa Hijabu
Magazeti ya Uhispania yameripoti kuwa, shule moja mjini Madrid imemfukuza katika chumba cha mtihani mwanafunzi mmoja wa Kiislamu baada ya mwanafunzi huyo kukataa kuvua vazi lake la staha la Hijabu.

1390/00/00  1:8

Watoto na Jamii
Kuwapa watoto majina mazuri, kuwafunza Qur’ani ni jukumu la wazazi
Imam Ali AS amesema: ‘Kina baba wana jukumu la kuwapa watoto majina yanayofaa, kuwalea vizuri na kuwafunza Qur’ani.’

1390/00/00  21:11

Walimu wa Azerbaijan wazuiwa kuvaa hijabu
Walimu wanaovaa vaa la stara la hijabu huko Azerbaijan wamezuiwa kuingia madarasani wakiwa na vazi hilo la Kiislamu kama walivyopigwa marufuku wanafunzi wa nchi hiyo.

1390/00/00  9:33

Ayatullah Khamenei: Wanawake ndio Jamii

1390/00/00  3:11

Ayatullh Khamenei:Utukufu na Thamani Aali za Mwanamke wa Kiislamu

1390/00/00  3:04

Ayatullah Khamenei: Thamani ya Mwanamke katika Uislamu

1390/00/00  3:01

Shakhsia ya Kijamii ya Wanawake

1390/00/00  3:57

Ufaransa inapaswa kutazama upya marufuku ya hijabu

1390/00/00  20:54

Usafi na Utunzaji wa Meno ya Watoto

1390/00/00  18:17

ATHARI ZA VITA KWA WATOTO

1390/00/00  18:15

Iran kufungua mashtaka dhidi ya FIFA kwa kupiga marufuku hijabu
Timu ya taifa ya soka ya wanawake ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema inapanga kumfungulia mashtaka ofisa wa Shirikisho la Soka Duniani FIFA aliyeipiga marufuku timu hiyo kushiriki mchuano wake dhidi ya Jordan wa kufuzu Mashindano ya Olimpiki ya London mwakani.

1390/00/00  5:28


ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani