![]() |
Afrika Iran ni njia ya utatuzi wa masuala ya kitalii nchini Misri Waziri wa masuala ya utalii nchini Misri: watalii wa kiirani ni njia ya kuifanya sikta ya utalii kupata hadhi yaki nchini Misri, na sula la tishio la Irani kwa nchi hiyo ni kitu kisicho wezekana na kisicho kuwepo
|
![]() |
Afrika Mufti wa Syria awasili mjni Cairo kwaajili ya kupata utatuzi wa matitizo ya Syria Katika jitahada zake za kupata njia za utatuzi wa matatizo ya Syria Mufti huyo amewasilia mjini Cairo na kuoona na viongozi wa nchi hiyo katika kujadili suala hilo
|
![]() |
Afrika Waziri mkuu wa zamani wa Malaysia aunana na Mursiy mjini Cairo Waziri wazamani wa Malaysia ashiriki katika mkutano wa chama cha uhuru na uadilifu nchini Misri ambacho ni tawi la chama cha Ikhwanul Muslimina nchini Misri pia waziri huyo wa zamani ataonana na Rais wa jamhuri ya Misri
|
![]() |
Mashariki ya kati Unyama wa magaidi wa Syria magaidi wa Siria wamekuwa wakitekeleza jinai mbaya na zakutisha dhidi ya wananchi wa Syria kila wakati
|
![]() |
Afrika Msemaji wa Mursiy: Iran ni moja ya njia ya utatuzi wa machafuko ya Syria Msemaji wa Rais wa Jamhuri ya Misri ametangaza kuwa; Iran ni moja ya njia ya utatuzi wa machafuko ya Syria, na tupo katika kufanya mawasiliano kwalengo la kuyapatia uvunbuzi machafuko hayo
|
![]() |
Mashariki yakati Uchokozi wa Israel kwa kuvuka anga la Lebanon Ndege za kivita za utawala haramu wa Israel zimevuka anga la Lebanon
|
![]() |
Afrika Mamilioni ya Wananchi wa Misri leo kuhudhuria maandano ya kuinusuru Quds Vikundi 11 vimetangaza kushirika katika maandamano yatakayo yatakayo fanywa ijumaa ya leo nchini Misri ikiwa na anuani ya kuinusuru Quds ambayo yanasimamiwa na chuo kikuu cha Azhar
|
![]() |
afrika Al azhar yahitaji balozi wa kizayuni kuwekwa kikao nchini Misri Sheikh wa Azhar amemtaka waziri wa mambo ya nje nchini Misri kumlazimisha balozi wa Israel haraka iwezekanavyo kusimamisha na kuacha vitendo vyao vibaya pia kumuacha huru Mufti wa Qudsi kwa anuani yakuwa yeye ni katika maulamaa wakubwa wan chi hiyo
|
![]() |
Uwahabi ni hatari kwa jamii Picha ilosambazwa ya Hujri Ibn Adiy kukadhibishwa Picha ilosambazwa na mitandao ya kijamii kuonyesha picha ya Sahaba huyo wa Mtume(saw) wa Mwenyezi Mungu baada ya kufukuliwa kaburi lake na waasi wa Syria si ya kweli.
|
![]() |
Uwahabi ni hatari kwa jamii Picha ya mweili wa Hujri Ibn Adiy Ripoti ya shirika la bagari la Ahlul Bayt(as)-ABNA- Tovuti ya Alghauta Alsharqia ambayo ni ya waasi wa Syria ilisambaza picha ambayo yadaiwa kuwa ni Sahaba wa Mtume(saw) Hujri Ibn Adiy akionyesha kuwa mwili wake kuwa msiza bila kuoza, na picha hiyo ni pale tu walipofukuwa kaburi la Sahaba mtukufu wa mtume(saw) siku ya Alkhamis alopita.
|
![]() |
afrika Bomu lalipoka kanisani jijini Arusha Vyanzo vya habari makini vinanukuu kutokea kwa mlipuko wa bomu jijini Arusha siku ya jumapili katika sherehe za ufunguzi wa kanisa katoliki mjini humo, ambapo mgeni rasmi katika ufunguzi huo alikuwa mwakilishi wa papa nchini Tanzania
|
![]() |
Mashariki yakati Maulmaa wote washirikiane kuzuia matendo yanayofanywa na makundi maovu Rais wa baraza la kimataifa linahusiana umoja wa madhehebu ya kiislamu amesisitiza kuwa kuvunjiwa heshima matukufu ya kiislamu na harakati zinazokwendfa dhidi ya uislamu vitasababisha fitna kubwa katika ulimwengu wa kiislamu.
|
![]() |
Mafumbo ya Imamu wa sala ya Jamaa nchini Misri kwa Muhammad Mursiy Imamu wa sala jamaa katika msikiti wa (Amru Mukaram) amewataka viongozi wa kisiasa kuwa chombo cha sheria cha nchi hiyo waelekeze nguvu zao zote katika harakati za kisiasa, ili wananchi wasipoteze kukiamini chombo hicho, kwasababu kama jeshi na chombo cha sheria vikianguka Serikali ya Misri nayo itaanguka
|
![]() |
Kaburi la swahaba wa Mtume(s.a.w.w) na Ally (a.s) lafukuliwa Magaidi wa Syria waharibu na kufukua kaburi la Hijri (swahaba wa Mtume) ambaye aliuwawa katika utawala wa Muawia kati ya mwaka 51 au 53
|
![]() |
Mgogoro wa Syria Mjumbe wa UN Lakhdar Brahimi kubwaga manyanga usuluhishi wa mgogoro wa Syria Mpatanishi wa mgogoro wa Syria nchini ya Umoja wa Mataifa UN, Lakhdar Brahimi anatarajia kujiuzulu kufuatia kuwepo kwa mvutano miongoni mwa Jumuia ya kimataifa katika jitihada za kumaliza machafuko ya Syria.Brahimi aliyechukua nafasi ya Kiongozi wa zamani wa Umoja wa Mataifa, Koffi Annan mwezi Agosti mwaka jana anataka kujiuzulu, hata hivyo ameshawishiwa kusubiri kwa siku kadhaa.
|
![]() |
Mgogoro wa Syria Al-Nasra, jibu ni kumtenda vibaya mtowa ripoti mahiri wa Aljazeera Mwandishi wa habari wa Televisheni ya Aljazeera ambaye miezi kadhaa alikuwa akitowa ripoti dhidi ya serikali ya Syria na kuwa na uhusiano mzuri na vikundi vya Waasi wa nchi hiyo baada ya kutendewa kitendo kibaya cha kubakwa alipelekwa haraka Qatar baada ya kuwa taabani.
|
![]() |
Wanawake Saudia Tangazo la kuvutia kuhusu Wanawake Saudi Arabia+picha Vitendo vibaya dhidi ya Wanawake Saudi Arabia, tangazo maalum la kuonyesha nini wafanyiwa Wanawake Saudia na lengo la tangazo hilo ni kuonyesha yanayojiri kificho nchini humo.
|
![]() |
Mgogoro wa Syria Silaha za kemikali zilitumika Syria Taarifa kutoka ikulu ya Rais ya white house kuwa kulitumika silaha za kemikali Syria kulizua miito kutoka kwa baadhi ya wabunge Marekani kuwa utawala wa Obama unastahili sasa kuchukua hatua za kijeshi jambo ambalo Rais Obama amekuwa akiepuka kufanya.
|
![]() |
Mashariki yakati Drone ya Hizbollah yahujumiwa na jeshi la Israel Jeshi la utawala dhalimu wa Israel limetangaza kudungua ndege ya wanaharati wa jeshi la Hibollah iliyokuwa ikichukua taarifa za Israel.ndege hiyo imedunguliwa kwa kutumia ndege za kivita za mwendo kasi za Jet F-16
|
![]() |
Mashariki ya kati Kuishambulia Iran ndio litakuwa kosa la mwisho kufanywa na Israel waziri wa ulinzi wa jamhuri ya kiislam ya Iran amesema kuwa: ikiwa Israel itafanya kosa kuishambulia Iran basi ndio litakuwa kosa lake la mwisho
|
![]() |
Rais Bashar Al-Asad Hali ya Syria kuwa shwari Hali kwenye medani ya vita nchini Syira yawa nzuri na Syria yapinga nguvu kutoka nje kuingilia kati ya mambo ya ndani ya Syria
|
![]() |
China na Marekani Taarifa kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Marekani Ofisi ya habari ya serikali ya China imetoa taarifa kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Marekani mwaka 2012, ikiwa ni majibu ya taarifa kama hiyo iliyotolewa hivi karibuni na Marekani ambayo imepotosha ukweli na kuishutumu China kuhusu hali ya haki za binadamu nchini humo.
|
![]() |
Afrika Waziri wa Algeria avivunjia heshima vitukufu vya uislamu Maneno mazito ya kusismua ya waziri wa tamaduni nchini Algeria katika kuvivunjia heshima vitukufu vya uilamu imepelekea kuchukiwa na wananchi wan chi hiyo
|
![]() |
Afrika Tanzania kutuma jeshi lake Congo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeazimia kupeleka vikosi vya Jeshi lake JWTZ nchini Congo kwa minaajili ya kulinda amani
|
![]() |
Siku ya huzuni Ripoti ya picha/Maombolezo ya shahada ya Fatima Zahra(AS) Qum Ripoti ya shirika la habari la Ahlul Bayt(AS)-ABNA- Haram ya Fatima Maasuma(AS) imeshuhudiwa na wapenzi wa Mtoto wa Mtume(SAW) kuhudhuru katika maombolezo ya kifo chake.
Ally Larejani mkuu wa bunge la Jamuhuri ya Kiislamu ya Iran alihudhuria katika maombolezo hayo na Ayatullah Wahid Khurasani na Ayatullah Safi Golpaigani wakielea Haram ya Fatima Maasuma(AS).
|